BREAKING NEWS: RUSHWA YA UCHAGUZI IMEANZA HUKO MBARALI VITU VYENYE NEMBO YA MAGUFULI VYAGAWIWA KWA WATU USIKU

KUJISHINDIA MAMILIONI KATIKA DROO HII BONYEZA HAPA CHINI UJIUNGE KATIKA BAHATI NASIBU,NA ILI UIBUKE MSHINDI HAKIKISHA KILA SIKU WABONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA;

Kikosi cha ulinzi CHADEMA,Red Briged, Mbarali chakamata vifaa vyenye picha ya Magufuli vikigawiwa usiku huu kuwahonga watu wampe kura Magufuli.
Kamanda wa Red Brigedi Mbarali amethibitisha tukio hili. Kwa sasa Red Breged Mbarali wanaendelea na msako kuzuia rushwa hii ya uchaguzi. Muda huu Red Briged wamezingira nyumba moja ambayo imeonekana watu wakiingiza mabox zaidi ya hamsini. Kamanda wa Red Briged wilaya Mbarali amesema nyumba hiyo itakua chini ya ulinzi hadi uchaguzi uishe.
Habari zilizo tufikia tena; RB wamekamata mabox zaidi eneo la kata ya Mapogoro. Tutaleta picha zaidi baadaye pindi mabox yote yatakapo letwa base.


KUJIUNGA NA KINYANG'ANYIRO CHA PIKIPIKI AINA YA BOXER BONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA NA UIBUKE MSHINDI,BONYEZA MARA NYINGI UWEZAVYO KUIBUKA MSHINDI;

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UDAKU WA DUNIA Published.. Blogger Templates
Back To Top