HABARI NJEMA KWA MASHABIKI WA MAN UNITED

KUJISHINDIA MAMILIONI KATIKA DROO HII BONYEZA HAPA CHINI UJIUNGE KATIKA BAHATI NASIBU,NA ILI UIBUKE MSHINDI HAKIKISHA KILA SIKU WABONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA;
Timu yako inafanya nini hivi sasa kwa ajili ya msimu unaonaza siku nne zijazo? Hilo ndilo swali la msingi kujiuliza kwa sasa hivi, timu bora ni ile inayofanya usajili kuongeza nguvu sehemu zenye mapungufu kwa ajili ya msimu ujao. Pia ile inayoongeza mikataba ya wachezaji wake bora kwa miaka ijayo inajiweka pazuri.
Sasa habari nzuri kuhusu Manchester united ni kwamba imekubaliana kuongeza mkataba na mchezaji wao tegemezi Ashley Young.Kutokana na ripoti zilizotoka ni kwamba Young anategemewa kusaini makaratasi ya mkataba mwisho mwa wiki hii. Mchezaji huyo mwenye miaka 30 anakaribia kufikia mwisho wa mkataba wake wa sasa hivi ambao alitokea Aston Villa kwa gharama ya £16 million
mmm
KUJIUNGA NA KINYANG'ANYIRO CHA PIKIPIKI AINA YA BOXER BONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA NA UIBUKE MSHINDI,BONYEZA MARA NYINGI UWEZAVYO KUIBUKA MSHINDI;

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UDAKU WA DUNIA Published.. Blogger Templates
Back To Top