CRISTIANO RONALDO AJIGEUZA OMBAOMBA WATU WAMPITA KIMYAAA...

KUJISHINDIA MAMILIONI KATIKA DROO HII BONYEZA HAPA CHINI UJIUNGE KATIKA BAHATI NASIBU,NA ILI UIBUKE MSHINDI HAKIKISHA KILA SIKU WABONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA;
ROA
Katika kile wasichokitegema wananchi wa Madrid walimpita super star wa soka Cristiano Ronaldo ambae alijibadilisha sura na kuwa kama babu omba omba.
Ronaldo alifanyiwa make up kuifanya ngozi yake kuwa kama ya mzee. Pia alivalishwa nywere ambazo zimechoka pamoja na mandevu mengi na mustach. Zaidi ya hapo akavaa manguo mengi yaliyochoka na kuwenda mitaa jiji Madrid.
Kitu cha ajabu ni kwamba omba omba huyu alikua anasakata kabumbu kupita kiasi pale mtaani ambapo watu wakaanza kumshangaa. Wengine walipasiwa mpira lakini walimpotezea.
Dogo mmoja ambae alikua anacheza mpira na ombaomba huyo alipata bahati ya kusaini mpira huo na Ronaldo alivua mandevu na watu wakaanza kumshangaa na kumjalia.
KUJIUNGA NA KINYANG'ANYIRO CHA PIKIPIKI AINA YA BOXER BONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA NA UIBUKE MSHINDI,BONYEZA MARA NYINGI UWEZAVYO KUIBUKA MSHINDI;

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UDAKU WA DUNIA Published.. Blogger Templates
Back To Top