Vituo kama WBS, NTV, CITIZEN TV, K24, KTN nk. Haiwezi kupita siku mbili ktk taarifa yao ya habari za kimataifa bila kumwonyesha Lowassa na kampeni zake.
Maswali matano ya Kujiuliza:
2. Zile picha za video wanachukua youtube au reporters wao wako field ktk msafara wa rais Lowassa?
3. Nini lengo hasa la kumpa upendeleo wa kumnadi mmoja na sio wote?
4. Ina maana Magufuli hana heshima kimataifa hata hapa A/mashariki?
5. Ingawa mke wangu(mwana CCM) huwa ananiambia kuwa Kenya na Uganda hawatokuja kupiga kura, hao wanajifurahisha tu. Je ni dhana sahihi? KUJIUNGA NA KINYANG'ANYIRO CHA PIKIPIKI AINA YA BOXER BONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA NA UIBUKE MSHINDI,BONYEZA MARA NYINGI UWEZAVYO KUIBUKA MSHINDI;
Post a Comment