TV STATION ZA KENYA NA UGANDA ZINA UPENDELEO KWA LOWASSA KAWANINI? BOFYA HAPA KUJUA

KUJISHINDIA MAMILIONI KATIKA DROO HII BONYEZA HAPA CHINI UJIUNGE KATIKA BAHATI NASIBU,NA ILI UIBUKE MSHINDI HAKIKISHA KILA SIKU WABONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA;
Huwa napitia kwa ufupi taarifa za habari za TV stations za Kenya na Uganda.
Vituo kama WBS, NTV, CITIZEN TV, K24, KTN nk. Haiwezi kupita siku mbili ktk taarifa yao ya habari za kimataifa bila kumwonyesha Lowassa na kampeni zake.

Maswali matano ya Kujiuliza:
 

1. Kwanini wasioneshe na ile ya Magufuli na CCM yake?

2. Zile picha za video wanachukua youtube au reporters wao wako field ktk msafara wa rais Lowassa?

3. Nini lengo hasa la kumpa upendeleo wa kumnadi mmoja na sio wote?

4. Ina maana Magufuli hana heshima kimataifa hata hapa A/mashariki?

5. Ingawa mke wangu(mwana CCM) huwa ananiambia kuwa Kenya na Uganda hawatokuja kupiga kura, hao wanajifurahisha tu. Je ni dhana sahihi?
KUJIUNGA NA KINYANG'ANYIRO CHA PIKIPIKI AINA YA BOXER BONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA NA UIBUKE MSHINDI,BONYEZA MARA NYINGI UWEZAVYO KUIBUKA MSHINDI;

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UDAKU WA DUNIA Published.. Blogger Templates
Back To Top