Inasemekana chopa iliyokuwa ikirusha na captain William silaa ikibeba watu kadhaa akiwemo na mbunge wa ludewa mheshimiwa DEO FILIKUNJOMBE inamilikiwa na aliyekuwa makamo wa rais KALONZO MUSYOKA.
Bwana MUSYOKA alishika wadhifa huo katika serikali ya nchini kenya mnamo mwaka 2008 hadi 2013. KUJIUNGA NA KINYANG'ANYIRO CHA PIKIPIKI AINA YA BOXER BONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA NA UIBUKE MSHINDI,BONYEZA MARA NYINGI UWEZAVYO KUIBUKA MSHINDI;
Post a Comment