TRAVIS SCOTT AMHOFIA CHRIS BROWN JUU YA KUTAKA KUWA KIMAPENZI NA RIHANNA.>>>> ALISEMAJE SOMA HAPA

KUJISHINDIA MAMILIONI KATIKA DROO HII BONYEZA HAPA CHINI UJIUNGE KATIKA BAHATI NASIBU,NA ILI UIBUKE MSHINDI HAKIKISHA KILA SIKU WABONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA;
Inawezekana sana kuwa historia kati ya Rihanna na R&B superstaa Chris Brown inawasumbua watu wengi ambao wanania ya kuwa na Rihanna kimapenzi.
Rapper Travis Scott na Rihanna wamekuwa wakionekana pamoja mara nyingi na sehemu mbalimbali lakini kuna stori imenifikia inasema kuwa rapper huyo hataki kuhalalisha mahusiano yake na staa huyo wa muziki mpaka pale atakapo pata baraka kwa aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Chris Brown!
travis3
Travis Scott.
Travis Scott amesema anampenda sana Rihanna na anataka awe na mahusiano ya kudumu kwa muda mrefu na msanii huyo lakini anaogopa kuharibu urafiki wake na Chris Brown kwasababu ya kitu kimoja tu… anaamini kuwa itakuwa kosa kubwa sana kutembea na msichana aliewahi kuwa mpenzi wa mshikaji wake wa karibu sana, hivyo angependa Chris Brown abariki mahusiano hayo.
travis6
Chris Brown na Rihanna.
>>> “namjua vizuri sana Chris… ni mtu wa hisia na hasira sana, na najua hii ni historia ya zaidi ya miaka 4 lakini Chris bado anahisia fulani kwa Rihanna… na nisingependa kuwa na issue zozote na Chris Brown kwasababu ya ukaribu wangu na Rihanna”. <<< Travis Scott.
travis4
Rihanna.
Travis amesisitiza kuwa anataka Chris abariki mahusiano hayo sio kwa kuwa anamuogopa bali ni kwa heshima kati ya marafiki wawili wenye uhusiano kama mtu na kaka yake… isitoshe Travis na Rihanna wameshaliongelea suala la Chris Brown naRihanna amemwambia licha ya tofauti zao Chris ni mtu special sana kwenye maisha yake kwahiyo Travis angependa kuwa na amani na Chris wakati yupo na Rihannakimapenzi.
KUJIUNGA NA KINYANG'ANYIRO CHA PIKIPIKI AINA YA BOXER BONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA NA UIBUKE MSHINDI,BONYEZA MARA NYINGI UWEZAVYO KUIBUKA MSHINDI;

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UDAKU WA DUNIA Published.. Blogger Templates
Back To Top