MESSI AMETOA AHADI YA MAAJABU ZAIDI YANAKUJA.>>>>>MAAJABU GANI SOMA HAPA

KUJISHINDIA MAMILIONI KATIKA DROO HII BONYEZA HAPA CHINI UJIUNGE KATIKA BAHATI NASIBU,NA ILI UIBUKE MSHINDI HAKIKISHA KILA SIKU WABONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA;
dfssfs
Lionel Messi baada ya kufikisha mechi 100 akiwa na club yake ya Barcelona imekua ni sehemu ya furaha kwake binafsi na mashabiki zake.
Licha ya kutoka draw ya 1-1, Messi amefikisha rekodi hiyo akiwa ni mchezaji mwenye umri mdogo. Messi amewashukuru mashabiki wake kwa kusema,“Nina furaha sana kucheza michezo 100 nikiwa na club bora duniani.”
“Kuna nyakati nyingi za kukumbuka na kuna maajabu mengi yatakuja”. Messi anategemea kushinda tena ubingwa wa Ulaya mara ya tano baada ya kushinda miaka ya 2006, 2009, 2011 na 2015.
KUJIUNGA NA KINYANG'ANYIRO CHA PIKIPIKI AINA YA BOXER BONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA NA UIBUKE MSHINDI,BONYEZA MARA NYINGI UWEZAVYO KUIBUKA MSHINDI;

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UDAKU WA DUNIA Published.. Blogger Templates
Back To Top