HIZI NDIZO CLUB ZILIZOTUMIA PESA NYINGI KUSAJILI KWENYE EPL…JE, ZITAWALIPA MCHEZONI???>>>>SOMA HAPA

KUJISHINDIA MAMILIONI KATIKA DROO HII BONYEZA HAPA CHINI UJIUNGE KATIKA BAHATI NASIBU,NA ILI UIBUKE MSHINDI HAKIKISHA KILA SIKU WABONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA;

RHZuXRGeRmHuksN2M7Mg_Swanson

Unaambiwa kipindi hiki cha usajili ndio kimevunja rekodi ya kutumia pesa nyingi zaidi ukiacha miaka iliyopita. Ishu ni kwamba usajili mkubwa haumaanishi ndio ubingwa upo mezani, lakini kwa kiasi kikubwa inachangia.
Manchester city imefanya usajili wa nguvu sana na inaongoza kwenye hii list. Matunda ya usajili wao umeanza kuoneka mwanzo wa ligi na wamepata matokeo mazuri. Lakini ligi ya uingereza haiwezi kutabirika mapema tusubiri hadi hapo baadae.
Hii hapa ni list ya club za EPL kwa pesa walizozitumia kwenye usajili. Listi imepangwa kutokana na net spend ambayo ni tofauti kati ya pesa zilizotumiaka toa pesa zilizopokewa.
chati
KUJIUNGA NA KINYANG'ANYIRO CHA PIKIPIKI AINA YA BOXER BONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA NA UIBUKE MSHINDI,BONYEZA MARA NYINGI UWEZAVYO KUIBUKA MSHINDI;

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UDAKU WA DUNIA Published.. Blogger Templates
Back To Top