HIKI NDICHO STAND UNITED WALICHOFAFANUA JUU YA HATMA YA KOCHA WAO>>>>>BOFYA HAPA KUJUA

KUJISHINDIA MAMILIONI KATIKA DROO HII BONYEZA HAPA CHINI UJIUNGE KATIKA BAHATI NASIBU,NA ILI UIBUKE MSHINDI HAKIKISHA KILA SIKU WABONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA;

Kocha mkuu wa Stand United Patrick Liewig

Kocha mkuu wa Stand United Patrick Liewig
Baada ya taarifa kuzagaa kuwa benchi la ufundi la timu ya Stand United ‘Chama la wana’ limevunjwa ambalo lipo chini ya mfaransa Patrick Liewig, afisa habari wa timu hiyo Deokaji Makomba ameiuka na kukanusha vikali taarifa hizo akiita ni uvumi.
“Mimi nikwambie hakuna taarifa inayozungumza kuwa benchi la ufundi linavunjwa, benchi la ufundi liko palepale chini ya kocha Patrick Liewig na akishirikiana na Athumani Bilal ‘Bilo’, Mathias Lule kasafiri kidogo kaenda kwao Uganda kwa siku kadhaa lakini baadae atarudi tutakuwa nae” amesema Makomba.
“Benchi letu la ufundi halijavunjwa, tunaliamini kupoteza mechi mbili ni hali ya mchezo kwasababu wewe unajipanga hivi mwenzako anajipanga vile anachukua pointi kwahiyo tuko vizuri tunaendelea kujiandaa ili kuwa bora katika ligi ya Vodacom”.
KUJIUNGA NA KINYANG'ANYIRO CHA PIKIPIKI AINA YA BOXER BONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA NA UIBUKE MSHINDI,BONYEZA MARA NYINGI UWEZAVYO KUIBUKA MSHINDI;

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UDAKU WA DUNIA Published.. Blogger Templates
Back To Top