HAYA NDIO MANENO ALIYOSEMA DAKTARI WA CHELSEA BAADA YA KUPIGWA MKWARA NA MORINHO

KUJISHINDIA MAMILIONI KATIKA DROO HII BONYEZA HAPA CHINI UJIUNGE KATIKA BAHATI NASIBU,NA ILI UIBUKE MSHINDI HAKIKISHA KILA SIKU WABONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA;
Carneiro
Daktari wa Chelse Eva Carneiro amewashukuru mashabiki waliomtia moyo baada ya kocha wa klabu hiyo, Jose Mourinho kuishambulia timu ya matabibu akisema kwamba ni ‘wajinga’.
Katika sare ya goli 2-2 dhidi ya Swansea kwenye mechi ya ufunguzi wa ligi kuu ya England, Mourinho alichukizwa na kitendo cha Carneiro kuingia uwanjani kumtibu Eden Hazard na kutumia muda mrefu ilihali dakika zikiwa zimesalia chache.
Chelsea doctor Eva Carneiro thanks fans for support after Jose Mourinho lays into his
Wakati huo Chelsea walilazimika kubaki 9 uwanjani na Swansea wakapata fursa ya kulisakama lango la Chelsea.
Mourinho alisema daktari huyo hakuelewa mchezo.
Carneiro amesema: “Napenda kuwashukuru watu wote walionipa moyo. Kiukweli nimepata faraja sana”.
The Chelsea doctor tends to be private but she posted on Facebook to thank those backing her judgement
KUJIUNGA NA KINYANG'ANYIRO CHA PIKIPIKI AINA YA BOXER BONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA NA UIBUKE MSHINDI,BONYEZA MARA NYINGI UWEZAVYO KUIBUKA MSHINDI;

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UDAKU WA DUNIA Published.. Blogger Templates
Back To Top