Basi la New Force Lapata Ajali na Kuua Watu 12 Iringa MAJINA YA WALIOFARIKI YAJULIKANA TAZAMA HAPA

KUJISHINDIA MAMILIONI KATIKA DROO HII BONYEZA HAPA CHINI UJIUNGE KATIKA BAHATI NASIBU,NA ILI UIBUKE MSHINDI HAKIKISHA KILA SIKU WABONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA;


Watu 12 wamefariki dunia papo hapo baada ya lori la mbao lililokuwa likitokea njombe kwenda jijini Dar es Salaam kupasuka tairi na kugongana na basi la abiria la new force lililokuwa linatokea jijini Dar es Salaam kuelekea tunduma hii leo katika eneo la kitonga wilaya ya kilolo mkoani iringa.

Kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoa wa iringa, kamishina msaidizi wa polisi Ramadhani Mungi amesema kuwa waliokufa ni wanaume nane na wanawake wanne majeruhi ni 28 ambao wengine wamepelekwa iringa mjini na wengine wako katika hospitali ya wilaya kilolo-iringa.

Aidha Kamanda Mungi amewataka madereva kuwa makini hasa katika kipindi hiki cha sikukuu na kuepuka mwendo kasi pamoja na kutoa taarifa pale vitendo kama hivyo vinapotokea


KUJIUNGA NA KINYANG'ANYIRO CHA PIKIPIKI AINA YA BOXER BONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA NA UIBUKE MSHINDI,BONYEZA MARA NYINGI UWEZAVYO KUIBUKA MSHINDI;

Post a Comment

CodeNirvana
Older Posts
© Copyright UDAKU WA DUNIA Published.. Blogger Templates
Back To Top