Kortini Kwa Kutumia Majina ya CCM na CHADEMA Kutapeli

KUJISHINDIA MAMILIONI KATIKA DROO HII BONYEZA HAPA CHINI UJIUNGE KATIKA BAHATI NASIBU,NA ILI UIBUKE MSHINDI HAKIKISHA KILA SIKU WABONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA;

Watu watatu wamefikishwa Mahakama ya Mkoa wa Mwanza wakikabiliwa na mashtaka ya wizi wa kimtandao na kujipatia Sh4 milioni kwa njia ya udanganyifu.

Washtakiwa hao wanadaiwa kusajili namba za simu za uongo, huku wakifungua akaunti ya benki ya NMB kwa jina la vyama vya Chadema na CCM wakitaka wachangiwe fedha za kuendesha kampeni za Uchaguzi Mkuu

Wakili wa Serikali, Castuce Ndamugoba aliwataja washtakiwa hao kuwa ni Bony Tefe (40), mkazi wa Mahina, Spridon Njunwa (38) mkazi wa Igoma, na Briton Wilson (43) ambaye ni fundi cherehani na mkazi wa Bugando, Mwanza

KUJIUNGA NA KINYANG'ANYIRO CHA PIKIPIKI AINA YA BOXER BONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA NA UIBUKE MSHINDI,BONYEZA MARA NYINGI UWEZAVYO KUIBUKA MSHINDI;

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UDAKU WA DUNIA Published.. Blogger Templates
Back To Top