Kassim Majaliwa Asimulia Kilichomfanya Amwage Machozi Baada ya Kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu

KUJISHINDIA MAMILIONI KATIKA DROO HII BONYEZA HAPA CHINI UJIUNGE KATIKA BAHATI NASIBU,NA ILI UIBUKE MSHINDI HAKIKISHA KILA SIKU WABONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA;

Waziri mkuu wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mh Kassim Majaliwa, amesema hakuwa na taarifa yeyote juu ya uteuzi wake uliofanywa na Rais.

Akizungumza na Azam TV, Mheshimiwa majaliwa amedai usiri uliotumika ni mkubwa ambao hata yeye atauendeleza katika kuimarisha Serikali.

“Huwezi amini mpaka asubuhi nafanya zoezi na Wabunge wenzangu sikuwa najua lolote, mimi ni kocha wa timu ya mpira ya Bunge.

"Yani mpaka Spika ameanza na ile Ruangwa nikapigwa na butwaa, na nimelia kwa sababu sikuamini kilichotokea, ila ndo hivyo Rais ameniamini akanipa nafasi” alisema Mh. Majaliwa.

KUJIUNGA NA KINYANG'ANYIRO CHA PIKIPIKI AINA YA BOXER BONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA NA UIBUKE MSHINDI,BONYEZA MARA NYINGI UWEZAVYO KUIBUKA MSHINDI;

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UDAKU WA DUNIA Published.. Blogger Templates
Back To Top