Wakuu nimeona Sauti ya Ujerumani DW wakiripoti kwamba Mtwara watu wamenza kuondoka mara baada ya kuona magari ya kijeshi pamoja na vifaru mtaani sasa inakuwaje kipindi hiki magari ya kijeshi mtaani?
Shirika la utangazaji la Ujererumani,DW limeripoti leo mchana kuwa idadi kubwa ya watu wameanza kuondoka mkoani Mtwara wakihofia hali ya usalama wakati wa uchaguzi.
Kwa mujibu wa Dw,watu wengi wanaoondoka ni wanawake na watoto, hali ambayo inaelezewa inatokana na vurugu za gesi za mwaka 2013, kuonekana kwa baadhi ya vifaa vya jeshi na wanajeshi wakiwa kwenye vifaru.
KUJIUNGA NA KINYANG'ANYIRO CHA PIKIPIKI AINA YA BOXER BONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA NA UIBUKE MSHINDI,BONYEZA MARA NYINGI UWEZAVYO KUIBUKA MSHINDI;
Shirika la utangazaji la Ujererumani,DW limeripoti leo mchana kuwa idadi kubwa ya watu wameanza kuondoka mkoani Mtwara wakihofia hali ya usalama wakati wa uchaguzi.
Kwa mujibu wa Dw,watu wengi wanaoondoka ni wanawake na watoto, hali ambayo inaelezewa inatokana na vurugu za gesi za mwaka 2013, kuonekana kwa baadhi ya vifaa vya jeshi na wanajeshi wakiwa kwenye vifaru.
Post a Comment