Hali Sio Nzuri Zanzibar,,,Mabomu yarindima kuwatawanya Vijana, Fuatilia Habari hii

KUJISHINDIA MAMILIONI KATIKA DROO HII BONYEZA HAPA CHINI UJIUNGE KATIKA BAHATI NASIBU,NA ILI UIBUKE MSHINDI HAKIKISHA KILA SIKU WABONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA;
Hali  ya  Usalama  Zanzibar  sio  nzuri, Polisi amelazimka  kutumia  mabomu  ya  machozi  kuwatawanya wafuasi  wa  CUF  walioingia  barabarani  kushangilia  ushindi  wa  Maalim Seif Sharif Hamad  ambaye  amejitangazia  ushindi  hata  kabla  ya ZEC  kumaliza kutangaza  matokeo.

Mabomu  ya  machozi  yamepigwa  kwa  wingi  katika  mji  wa  Chakechake  baada  ya  wananchi  kukaidi  amri  halali ya  Polisi  ya  kuwataka  watawanyike 


KUJIUNGA NA KINYANG'ANYIRO CHA PIKIPIKI AINA YA BOXER BONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA NA UIBUKE MSHINDI,BONYEZA MARA NYINGI UWEZAVYO KUIBUKA MSHINDI;

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UDAKU WA DUNIA Published.. Blogger Templates
Back To Top