KUJISHINDIA MAMILIONI KATIKA DROO HII BONYEZA HAPA CHINI UJIUNGE KATIKA BAHATI NASIBU,NA ILI UIBUKE MSHINDI HAKIKISHA KILA SIKU WABONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA;

mgombea wa ludewa bwana deo filikunjombe
Kwa masikitiko makubwa bwana jerry silaa amepokea kifo cha mgombea ubunge jimbo la Ludewa kwa tiketi ya chama cha mapinduzi aliyeambatana na baba yake mzazi ambaye pia amefariki katika ajari hiyo. kifo cha mgombea huyo kimetokea baada ya helicopter waliyokuwa wakisafiria kupata ajari kutokana na matatizo ya engine nakuangukia mbugani (selous) katika ajari hiyo inasemakana hakuna aliyepona ni baada ya abiria na rubani wote kufariki kufanya jumla ya idadi ya watu wanne kufarikai.

Chopa hiyo iliyopaishwa na Capt. William Silaa ambaye pia alifariki katika ajari hiyo. inasemekana ilikumbwa na matatizo ya engine na kupelekea vifo hivyo
Kwa masikitiko makubwa mtoto wa rubani huyo aliweza kuwashukuru waote walioshiriki katika kutafuta mahali ilipoangukia na hiki ndicho alichosema ndugu jerry silla

By
Jerry Silaa
Kwa masikitiko makubwa nimepokea taarifa rasmi kutoka kwa timu ya uokoaji imefanikiwa kufika eneo la ajiali na kukuta abiria wote na rubani wamepoteza maisha.
Nimepoteza Baba na rubani mzuri wa nchi yetu Capt.William Silaa,nimepoteza rafiki na kiongozi wangu Mhe.Deo Filikunjombe. Nawapa pole wote waliopoteza ndugu zao. Nawaombea marehemu mapumziko ya Amani.
Nawashukuru wote walioshirikiana na familia kusaidia uokozi.
Namshukuru Mhe.Rais Jakaya M Kikwete, Dr.John Pombe Magufuli, IGP Ernest Mangu, Katibu Mkuu MU Dr.Meru, Kampuni ya Everest Aviation ,Wabunge, MaDC, Maafisa wa TCAA na wote walioshiriki kuwatafuta wahanga wa tukio hili.
Tutajuzana taarifa na mipango mingine.
JS
KUJIUNGA NA KINYANG'ANYIRO CHA PIKIPIKI AINA YA BOXER BONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA NA UIBUKE MSHINDI,BONYEZA MARA NYINGI UWEZAVYO KUIBUKA MSHINDI;
Post a Comment