YANGA WAONYWA KUJIHUSISHA NA SIASA,TAZAMA JINSI JENGO LAO LINAVYOMPIGIA CHAPUO MGOMBEA HUYU

KUJISHINDIA MAMILIONI KATIKA DROO HII BONYEZA HAPA CHINI UJIUNGE KATIKA BAHATI NASIBU,NA ILI UIBUKE MSHINDI HAKIKISHA KILA SIKU WABONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA;

sadf

Yanga ni club ya mashabiki mbalimbali wenye itikadi tofauti, sasa sio sawa kuweka mabango ya kisiasa kwenye ofisi za club. Sina uhakika kama viongozi wa club hii wameliona hili lakini kwanini wasione wakati lipo nje ya ofisi yao.
Yanga kama club ya wananchi ina jukumu la kutetea demokrasia na wasioneshe hata chembe moja kwa moja kuhusisha club na chama chochote cha siasa.
Natoa rai karatasi hii itolewe na hata vilabu vingine au asasi zozote za kijamii zisijihusishe moja kwa moja na vyama vya siasa. Mtu binafsi anaweza kujihusisha lakini sio club. +255 kwanza kabla ya kitu chochote
20150917114708

KUJIUNGA NA KINYANG'ANYIRO CHA PIKIPIKI AINA YA BOXER BONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA NA UIBUKE MSHINDI,BONYEZA MARA NYINGI UWEZAVYO KUIBUKA MSHINDI;

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UDAKU WA DUNIA Published.. Blogger Templates
Back To Top