IJUE HASHTAG YA "WENGEROUT" INAYOENDESHWA NA MASHABIKI WA ARSENAL DUNIA NZIMA

KUJISHINDIA MAMILIONI KATIKA DROO HII BONYEZA HAPA CHINI UJIUNGE KATIKA BAHATI NASIBU,NA ILI UIBUKE MSHINDI HAKIKISHA KILA SIKU WABONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA;
downloadcvd
Kama ulikua hujui ni kwamba Arsene Wenger ameweka rekodi mbaya usiku wa jana kwa kuwa kocha wa kwanza kufungwa kwenye mechi 50 za Champions League kwenye main tournament. Ukizitoa mechi ya kuwania kuingia kwenye makundi.
Sasa kuna hashtag ambayo sio mpya lakini kwa msimu huu imeanza jana usiku. Hashtag ya WengerOut inaendeshwa na mashabiki wa Arsenal kwenye social media wakishinikiza kocha huyo kuacha kazi kwenye club hiyo.
Kila shabiki hulalamika kwa sababu yake, wengine husema kwamba kwanini hasajili, wengine kwanini anafungwa sana, wengine wanasema wame-miss makombe hasa ubingwa wa ligi ya EPL.
Unaweza kwenda kwenye instagram,twitter au facebook uka-serach hashtag ya WengerOut utaona post nyingi za mashabiki wa Arsenal wakimlalamikia.
12033146_1209717562419238_588244781824219292_n
KUJIUNGA NA KINYANG'ANYIRO CHA PIKIPIKI AINA YA BOXER BONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA NA UIBUKE MSHINDI,BONYEZA MARA NYINGI UWEZAVYO KUIBUKA MSHINDI;

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UDAKU WA DUNIA Published.. Blogger Templates
Back To Top