ARSENAL WENGER KAMPA TALAKA MKE WAKE…NA PIA ALIWAHI KUWA NA MCHEPUKO HUU

KUJISHINDIA MAMILIONI KATIKA DROO HII BONYEZA HAPA CHINI UJIUNGE KATIKA BAHATI NASIBU,NA ILI UIBUKE MSHINDI HAKIKISHA KILA SIKU WABONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA;
wenger
Watu maarufu kwenye michezo pia wana maisha yao binafsi na wengine huwa hawapendi sana yazungumziwe kwenye media. Lakini kuna gazeti moja la The Sun, kazi yake kubwa ni kutafuta udaku kuhusu michezo na sio matokeo ya mechi peke yake.
Habari kubwa kwa sasa ni kwamba Arsene Wenger anategemea kumpa talaka mke wake Annie Wenger ambae walifunga ndoa mwaka 2010 na kufanikiwa kupata mtoto wa kike.
Lakini taarifa hiyo inasema kwamba Wenger bado atakua anampa support ya kipesa mwanamke huyu na wameshakubaliana kugawana mali zao.
Licha ya kuwa na mtoto wa kike mwenye miaka 18 lakini inasemakana kwamba wapenzi hao(Arsene na Annie) hawakua na furaha kwenye maisha yao ya mapenzi.
Pia inasemekana kwamba wiki chache kabla ya ndoa yao Arsene Wenger alikua na uhusiano wa siri na msanii mmoja wa kike huko Ufaransa anaitwa Sonia Tatar. Kuachana kwao kumethibitishwa na mahakama za Ufaransa na sasa hivi kila mtu anaweza kuwa na uhusiano na mtu mwingine licha ya Wenger kuendelea kuwa na majukumu ya kulea familia yake hasa mtoto wake.
2CA9E99C00000578-3245488-image-m-47_1442974258840
Sonia Tatar.
KUJIUNGA NA KINYANG'ANYIRO CHA PIKIPIKI AINA YA BOXER BONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA NA UIBUKE MSHINDI,BONYEZA MARA NYINGI UWEZAVYO KUIBUKA MSHINDI;

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UDAKU WA DUNIA Published.. Blogger Templates
Back To Top