TAZAMA KILICHO MSIBU MDOGO WAKE MESSI NA KUPELEKEA KUFUNGA KUPITIA TWEETER

KUJISHINDIA MAMILIONI KATIKA DROO HII BONYEZA HAPA CHINI UJIUNGE KATIKA BAHATI NASIBU,NA ILI UIBUKE MSHINDI HAKIKISHA KILA SIKU WABONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA;

Mdogo wake Lionel Messi, Matias Messi amemtetea kaka yake maarufu kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter kutokana na kukosolewa kwa mshindi huyo wa tuzo nne za Ballon D’Or nchini Argentina kwa madai kwamba ameshindwa kuipa mafanikio ya timu ya Taifa.
Mara zote Messi anapoondoka Barcelona kwenda kuiwakilisha Argentina katika mashindano ya kimataifa anaibeba nchi yake mabegani mwake kama ilivyokuwa kwa Diego Maradona, lakini anakumbwa na bahati mbaya kila anapoingia kwenye mechi muhimu za mashindano.
Licha ya Lionel Messi kuonesha kiwango kizuri katika fainali za Copa America zilizomalizika siku za karibuni nchini Chile , kazi yake nzuri ilisahaulika baada ya kupoteza mechi ya fainali kwa mikwaju ya penalti na wenyeji Chile.
Nyota huyo wa Barcelona amekuwa akipondwa na mashabiki pamoja na vyombo vya habari na ikafika mahala mhariri wa gazeti za Ole alimtaka  ajiuzulu unahodha.
Matias ambaye amejichora Tattoo ya kaka yake amemtetea mdogo wake akisema kwamba anakosolewa sana ikiitwa mtu wa kupoteza, lakini hastahili mzigo mkubwa kiasi hicho.
Baadhi ya Tweets za Matias Messi hizi hapa;

KUJIUNGA NA KINYANG'ANYIRO CHA PIKIPIKI AINA YA BOXER BONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA NA UIBUKE MSHINDI,BONYEZA MARA NYINGI UWEZAVYO KUIBUKA MSHINDI;

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UDAKU WA DUNIA Published.. Blogger Templates
Back To Top