DI MARIA MBIONI KUTUA PSG

KUJISHINDIA MAMILIONI KATIKA DROO HII BONYEZA HAPA CHINI UJIUNGE KATIKA BAHATI NASIBU,NA ILI UIBUKE MSHINDI HAKIKISHA KILA SIKU WABONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA;
Di Maria PSG
Angel di Maria amewaambia Manchester United kwamba anataka kuhamia kunako klabu ya Paris Saint-Germain huku Laurent Blanc akisisitiza kuwa na nia ya kumnasa Muargentia huyo hata ikibidi wiki hii. 
Mabingwa hao wa Ufaransa, awali walitoa ofa ya pauni milioni 46.5 na inasemekana kuwa mpaka kufikia siku ya Jumatatu dili hilo litakuwa limekamilika.
Stoo ya United ikiwa na maski za Robin van Persie, Di Maria na Radamel Falcao ambazo ndizo pekee zinazouzwa kwa bei rahisi kabisa
Stoo ya United ikiwa na maski za Robin van Persie, Di Maria na Radamel Falcao ambazo ndizo pekee zinazouzwa kwa bei rahisi kabisa
Kocha wa Manchester United aliwaambia wachezaji wake mapema kabisa kabla ya mchezo dhidi ya Barcelona kwamba Di Maria yuko mbioni kujiunga na PSG baada ya kukacha kujiunga na wenzake kwa ajili ya mchezo huo huko Santa Clara. 
Marcos Rojo kwa upande wake hakuwepo pia lakini yeye taarifa zake ziko wazi kwamba ana matatizo katika pasi yake ya kusafiria lakini hata hivyo anaweza kukumbana na hatua za kinidhamu kutoka kwa kocha wake kutokana na uzembe huo. 
Di Maria PSG 1Huku PSG wakijianda kukipiga na Man United siku ya Jumatano huko Chicago, Blanc amesema kwamba: “Bila shaka ni mchezaji mzuri. Hakuna chochote kilichothibitishwa mpaka sasa. Bado kuna mkanganyiko kwamba atakuja hapa U.S. Je, ni jezi ipi anavaa, sisi hatujui. Kama atafanya chaguo lake mwenyewe kuhusu mahali pa kwenda, basi naamini itakuwa ni PSG”.
KUJIUNGA NA KINYANG'ANYIRO CHA PIKIPIKI AINA YA BOXER BONYEZA PICHA CHINI YA MANENO HAYA NA UIBUKE MSHINDI,BONYEZA MARA NYINGI UWEZAVYO KUIBUKA MSHINDI;

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UDAKU WA DUNIA Published.. Blogger Templates
Back To Top